THANK YOU FOR VISITING #MaPROMO BLOG - WHERE WE KEEP IT BRIEF TO THE POINT AND CUT THE BS

THE MOVEMENT

THE MOVEMENT

Thursday, March 3, 2016

DR.CARINA WANGWE HIRED TO REPLACE DR.DAU THEN THIS..SOMEONE IS CLEARLY NOT DOING THEIR JOB AND TRUST ME IT'S NOT CARINA #TRUTH









Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu, sera, bunge, kazi, vijana, ajira na wenye ulemavu Jenister Mhagama ametengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe uliotangazwa leo Jijini Dar es salaam. Taarifa iliyotolewa usiku huu imeeleza kuwa uteuzi huo umetenguliwa kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya taratibu, uteuzi mpya kwa mujibu wa mamlaka na sheria utakapofanyika taarifa zitatolewa kwa wananchi.

Powered by #MaPROMO BLOG - A Division of J & P ENT - All Rights Reserved