THANK YOU FOR VISITING #MaPROMO BLOG - WHERE WE KEEP IT BRIEF TO THE POINT AND CUT THE BS

THE MOVEMENT

THE MOVEMENT

Saturday, January 24, 2015

INTERESTING TOPIC OF THE DAY - MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI



Mawaziri Kamili

George Simbachawene- Waziri wa Nishati na Madini

Mary Nagu -Waziri wa nchi Mahusiano na Uratibu
Harrison Mwakyembe - Waziri wa Afrika Mashariki. 
Wiliam Lukuvi - Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi
Steven Wassira - Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika
Samwel Sitta - Waziri wa Uchukuzi
Jenista Mhagama - Waziri wa Sera na Uratibu wa Bunge

Christopher Chiza- Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji


Manaibu Waziri

Steven Masele - Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano
Angellah Kairuki - Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi
Ummy Mwalimu- Naibu Waziri wa Katiba na Sheria
Anna Kilango- Naibu waziri wa Elimu
Charles Mwijage - Naibu Waziri wa Nishati na Madini